Former England manager Sven-Goran Eriksson is sacked as boss of Championship club Leicester City, BBC Sport understands
PATA HABARI MOTO MOTO, ZA KITAIFA NA KIMATAIFA KUPITIA HAPA, TUPE MAWAZO YAKO TUYAFANYIE KAZI, TUPE HABARI ZOZOTE ULIZO NAZO TUTAZIWEKA HAPA,KWA MWENYE PARTY AINA YOYOTE INAYOHUSIANA NA MAMBO YA MUSIC, TAFADHARI ONGEA NA PAPAYA KUPITIA NAMBA HII..07501 202029..YUPO MACHO 24/7 BEI MAELEWANO.
Monday, 24 October 2011
Sunday, 23 October 2011
2011 RUGBY WORLD CUP FINAL: NEW ZEALAND 8-7 FRANCE
New Zealand were crowned world champions for the first time in 24 years after squeezing past an inspired France team by a single point.
Tony Woodcock's early try and a penalty from fourth-choice fly-half Stephen Donald were enough to see the All Blacks home in an extraordinary match that defied all pre-match predictions.
France produced their best performance of the tournament and appeared to be close to pulling off one of the great upsets after captain Thierry Dusatoir's try with half an hour remaining set up a nerve-shredding finale.
But Francois Trinh-Duc missed a long-range penalty before desperate defence saw the favourites hang on for a famous win.
The final whistle triggered scenes of wild jubilation at Eden Park as a nation celebrated a repeat of the outcome from the very first World Cup final in 1987.
And when skipper Richie McCaw hoisted the Webb Ellis trophy high into the night, a quarter of a century of hurt was blown away in an explosion of fireworks and cheering.
An already febrile atmosphere within the ground before the start had been stoked still further when France's players formed an arrow formation to face down the haka, and then advanced slowly over halfway as the capacity crowd roared.
The drama seemed to unsettle the players, both sides making early errors, and when Piri Weepu pulled a penalty badly wide the nerves began to spread to the stands.
With one well-worked line-out move they were soon silenced. Weepu put a penalty into the corner, Jerome Kaino took the ball off the top and popped it down into the arms of the advancing Woodcock to put the veteran prop through a gaping hole.
Weepu missed a simple conversion but France were rattled.
For all their good early work they found themselves on the end of some harsh decisions from referee Craig Joubert at the scrum and breakdown. With fly-half Morgan Parra forced off with a head injury the All Blacks began to dominate possession, only for Weepu to miss another straightforward penalty from 25 metres out.
The scrum-half's struggles meant the lead remained at just five points instead of a possible 13, and with half-time approaching the tide began to turn.
Fly-half Aaron Cruden hyper-extended his knee horribly in contact and was carried off the pitch, forcing Graham Henry to bring on Donald - a man who was fishing for whitebait a fortnight ago before injuries to Dan Carter and Colin Slade triggered his emergency call-up.
France's own stand-in stand-off Trinh-Duc missed with a drop-goal when well set but then set off on a curving run through a scattered defensive line which carried him deep into enemy territory until Weepu's desperate tap-tackle finally brought him down.
He had a chance to reduce the deficit to just two points only to slide a penalty from the left touchline across the face of the posts, and was then penalised by Joubert to give Donald the simplest of kicks for 8-0.
If some expected France to fold, Les Bleus had other ideas. Trinh-Duc gathered a poor kick from Weepu and sliced through the All Blacks line again, and although Dimitri Yachvili slipped with the line at his mercy the ball went wide, was recycled and put into the hands of skipper Dusautoir to slide in under the posts.
Eden Park was stunned, Trinh-Duc converting for 8-7 and the previously impregnable home side badly rattled.
France were transformed from the feeble, divided unit that had squeaked past Wales in the semi-final, their half-backs finding the corners with beautifully judged kicks from hand, the forwards making yards with every drive and a reorganised Kiwi line-out beginning to malfunction.
With 16 minutes left on the clock and the tension climbing through the roof, Trinh-Duc tried his luck with a penalty from just inside halfway only to push it wide, but the unthinkable now seemed a real possibility.
Replacement Damien Traille burgled a high ball from Israel Dagg and made good ground, the All Blacks scrum coming under increasing pressure and the crowd falling silent as their World Cup dream threatened to become a nightmare.
With the seconds slipping away and the gap just one point, France went through an 18-phase attack that made little ground but resulted in an attacking scrum on the New Zealand 10m line, only for the hosts to steal the ball back when Aurelien Rougerie was wrapped up.
The All Blacks drove upfield, using up the remaining moments, and when Joubert blew for another French infringement, the biggest party in New Zealand's history was under way.
New Zealand: Israel Dagg, Cory Jane, Conrad Smith, Ma'a Nonu, Richard Kahui, Aaron Cruden, Piri Weepu; Tony Woodcock, Keven Mealamu, Owen Franks, Sam Whitelock, Brad Thorn, Jerome Kaino, Richie McCaw (capt), Kieran Read.
Replacements: Andrew Hore (for Mealamu, 49), Ben Franks, Ali Williams (for Whitelock, 48), Adam Thomson, Andy Ellis (for Weepu, 49), Stephen Donald (for Cruden, 34), Sonny Bill Williams (for Nonu, 76).
France: Maxime Médard, Vincent Clerc, Aurélien Rougerie Maxime Mermoz, Alexis Palisson, Morgan Parra, Dimitri Yachvili; Jean-Baptiste Poux, William Servat, Nicolas Mas, Pascal Papé, Lionel Nallet, Thierry Dusautoir (capt), Julien Bonnaire, Imanol Harinordoquy.
Replacements: Dimitri Szarzewski (for Servat, 65), Fabien Barcella (for Poux, 65) Julien Pierre (for Pape, 70), Fulgence Ouedraogo, Jean-Marc Doussain (for Yachvili, 76), François Trinh-Duc (temp for Parra, 12-17, then 22) Damien Traille (for Clerc, 45).
Referee: Craig Joubert (South Africa)
Friday, 21 October 2011
VYUO ZAIDI KAMA UDOM KUJENGWA
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali ina mpango wa kuendelea kujenga vyuo vikuu vingi vya ukubwa wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa lengo la kupanua sekta ya elimu ya juu nchini.
Akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Rais Kikwete alisema Serikali itatoa mchango mkubwa katika ujenzi wa vyuo hivyo pamoja na
kwamba uwekezaji katika eneo hilo ni mgumu kutokana na gharama.
“Nawaahidi tutavijenga vyuo hivi kama tulivyoijenga UDOM, ujenzi wa chuo kile uliigharimu
sana Serikali, lakini hili halituzuii kujenga zaidi. “Tayari tumeanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Tengeru, ambacho muundo wake na kila kitu utakuwa kama wa UDOM, na kitaitwa Mandela,” alisema Rais Kikwete.
UDSM na Uganda
Wakati Rais Kikwete akisema hayo, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, aliwataka Watanzania kujivunia matunda ya UDSM kutokana na mchango mkubwa ambao chuo hicho umetoa ndani na nje ya Tanzania.
Aliwapongeza Watanzania kwa kutimiza miaka 50 ya Uhuru wao na wa Chuo hicho na kuelezea kuwa, wahitimu wa chuo hicho wengi si tu wameisaidia Tanzania, bali hata Uganda.
Alisema viongozi wengi wa Uganda walisoma hapo na kutoa mfano wa Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Katibu Mkuu wa zamani wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Amanya Mushega na mkewe Janet Museveni ambaye pia ni Waziri nchini humo.
“Mbali na mimi kule nchini kwangu madaktari, mawakili na viongozi wengi wamesoma hapa UDSM na wanatoa mchango mkubwa wa maendeleo, ni vyema Watanzania wakajivunia chuo hiki na kuhakikisha kinapanuka na kuzaa vyuo vingi zaidi kwa faida ya vizazi vijavyo,” alisema.
Elimu ya Juu Akifafanua juhudi za kupanua sekta ya elimu ya juu nchini, Rais Kikwete alisema tayari Serikali imeanzisha Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Juu (HEDP) wa mwaka 2010
hadi 2015.
Mpango huo kwa mujibu wa Rais, utatoa mafunzo kwa wahadhiri, kukarabati na kujenga zaidi vyuo vikuu, kusambaza vifaa vya kufundishia kama vile kompyuta na vitabu na kusimamia ipasavyo masuala ya utafiti.
“Kwa nchi masikini kama Tanzania ambayo pato lake la Taifa kwa mwaka ni dola za Marekani bilioni 25, mpango huo utekelezaji wake ni mgumu lakini Serikali imedhamiria kuudhamini
kama ilivyodhamini miradi mingine ya maendeleo ya shule za msingi na sekondari,” alisema.
Akizungumzia historia ya elimu, Rais Kikwete alisema tangu Uhuru hadi sasa mafanikio makubwa yamepatikana ambapo kwa sasa asilimia 97 ya wanafunzi wa shule za msingi wana nafasi ya kusoma elimu hiyo ikilinganishwa na asilimia mbili tu miaka 50 iliyopita.
Mbali na mafanikio hayo, pia fedha za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu zimepanda kutoka Sh bilioni 6.1 mwaka 2005/2006 hadi Sh bilioni 317.9 mwaka huu.
Alisema kwa sasa kuna shule zaidi ya 15,816 za msingi ikilinganishwa na shule 3,000 mwaka 1961 na shule za sekondari 4,367 ikilinganishwa na 41 wakati wa Uhuru.
Alitaja idadi ya wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza kuwa ni milioni 1.6 ikilinganishwa na miaka 50 iliyopita ambapo walikuwa 11,832.
Kwa upande wa vyuo vikuu, Rais alisema baada ya Uhuru kulikuwa na chuo kimoja cha UDSM kilichokuwa chini ya Chuo Kikuu cha London kikiwa na wanafunzi 14, kati yao 13 Watanzania na mmoja Mganda, lakini kwa sasa kuna vyuo zaidi ya 40 vyenye wanafunzi 135,367 huku
UDSM pekee ikiwa na wanafunzi 19,563.
“Tunajua kuwa bado tunahitaji kupambana zaidi ili kupanua sekta ya elimu nchini na kufanikisha kukabiliana na idadi ya watu inayokua kila siku, ili kufikia hatua ambayo wenzetu
wamefikia,” alisema.
Alisema nchi nyingine duniani zina wahitimu wa elimu ya juu wengi zaidi na wahadhiri ikilinganishwa na nchi za Afrika ambapo wakati nchi za Kiarabu zina wahitimu milioni 6.5, Marekani milioni 14.6 Afrika kama Afrika Kusini zina wahitimu milioni 3.3, Kenya 108,407, Uganda 88,360 na Tanzania 42,948.
“Na hapa sijutii hata kidogo, uamuzi wa kuongeza bajeti kila mwaka katika sekta ya elimu ili kukabiliana na hali hii,” alisema Rais Kikwete.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, alisema UDSM ni chuo cha kwanza nchini na kimezalisha wataalamu, viongozi na kufanya utafiti wa masuala mbalimbali yanayowakabili Watanzania na hivyo kusaidia maendeleo ya Taifa.
Maadhimisho hayo ambayo awali yalianza kwa vurugu baada ya wanafunzi wa chuo hicho kukusanyika na kumpokea Rais Kikwete na mgeni wake kwa mabango na nyimbo, pia yalihudhuriwa na Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi na Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba.
Aidha, Kaimu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala alitoa zawadi kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Mkuu wa Kwanza wa Chuo hicho, Profesa Robert Pratt.
Zawadi zingine zilitolewa kwa Mkuu wa Kwanza wa Chuo hicho ambaye ni mzawa, Dk. Wilbert Chagula; aliyehusika kutafuta eneo chuo hicho kilipo sasa, Chifu George Kunambi; Mkuu wa Kwanza wa Kitivo cha Sheria, Arthur Weston na mwanafunzi wa kwanza wa kike chuoni hapo, Jaji Julie Manning.
Akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Rais Kikwete alisema Serikali itatoa mchango mkubwa katika ujenzi wa vyuo hivyo pamoja na
kwamba uwekezaji katika eneo hilo ni mgumu kutokana na gharama.
“Nawaahidi tutavijenga vyuo hivi kama tulivyoijenga UDOM, ujenzi wa chuo kile uliigharimu
sana Serikali, lakini hili halituzuii kujenga zaidi. “Tayari tumeanza ujenzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Tengeru, ambacho muundo wake na kila kitu utakuwa kama wa UDOM, na kitaitwa Mandela,” alisema Rais Kikwete.
UDSM na Uganda
Wakati Rais Kikwete akisema hayo, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, aliwataka Watanzania kujivunia matunda ya UDSM kutokana na mchango mkubwa ambao chuo hicho umetoa ndani na nje ya Tanzania.
Aliwapongeza Watanzania kwa kutimiza miaka 50 ya Uhuru wao na wa Chuo hicho na kuelezea kuwa, wahitimu wa chuo hicho wengi si tu wameisaidia Tanzania, bali hata Uganda.
Alisema viongozi wengi wa Uganda walisoma hapo na kutoa mfano wa Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Katibu Mkuu wa zamani wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Amanya Mushega na mkewe Janet Museveni ambaye pia ni Waziri nchini humo.
“Mbali na mimi kule nchini kwangu madaktari, mawakili na viongozi wengi wamesoma hapa UDSM na wanatoa mchango mkubwa wa maendeleo, ni vyema Watanzania wakajivunia chuo hiki na kuhakikisha kinapanuka na kuzaa vyuo vingi zaidi kwa faida ya vizazi vijavyo,” alisema.
Elimu ya Juu Akifafanua juhudi za kupanua sekta ya elimu ya juu nchini, Rais Kikwete alisema tayari Serikali imeanzisha Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Juu (HEDP) wa mwaka 2010
hadi 2015.
Mpango huo kwa mujibu wa Rais, utatoa mafunzo kwa wahadhiri, kukarabati na kujenga zaidi vyuo vikuu, kusambaza vifaa vya kufundishia kama vile kompyuta na vitabu na kusimamia ipasavyo masuala ya utafiti.
“Kwa nchi masikini kama Tanzania ambayo pato lake la Taifa kwa mwaka ni dola za Marekani bilioni 25, mpango huo utekelezaji wake ni mgumu lakini Serikali imedhamiria kuudhamini
kama ilivyodhamini miradi mingine ya maendeleo ya shule za msingi na sekondari,” alisema.
Akizungumzia historia ya elimu, Rais Kikwete alisema tangu Uhuru hadi sasa mafanikio makubwa yamepatikana ambapo kwa sasa asilimia 97 ya wanafunzi wa shule za msingi wana nafasi ya kusoma elimu hiyo ikilinganishwa na asilimia mbili tu miaka 50 iliyopita.
Mbali na mafanikio hayo, pia fedha za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu zimepanda kutoka Sh bilioni 6.1 mwaka 2005/2006 hadi Sh bilioni 317.9 mwaka huu.
Alisema kwa sasa kuna shule zaidi ya 15,816 za msingi ikilinganishwa na shule 3,000 mwaka 1961 na shule za sekondari 4,367 ikilinganishwa na 41 wakati wa Uhuru.
Alitaja idadi ya wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza kuwa ni milioni 1.6 ikilinganishwa na miaka 50 iliyopita ambapo walikuwa 11,832.
Kwa upande wa vyuo vikuu, Rais alisema baada ya Uhuru kulikuwa na chuo kimoja cha UDSM kilichokuwa chini ya Chuo Kikuu cha London kikiwa na wanafunzi 14, kati yao 13 Watanzania na mmoja Mganda, lakini kwa sasa kuna vyuo zaidi ya 40 vyenye wanafunzi 135,367 huku
UDSM pekee ikiwa na wanafunzi 19,563.
“Tunajua kuwa bado tunahitaji kupambana zaidi ili kupanua sekta ya elimu nchini na kufanikisha kukabiliana na idadi ya watu inayokua kila siku, ili kufikia hatua ambayo wenzetu
wamefikia,” alisema.
Alisema nchi nyingine duniani zina wahitimu wa elimu ya juu wengi zaidi na wahadhiri ikilinganishwa na nchi za Afrika ambapo wakati nchi za Kiarabu zina wahitimu milioni 6.5, Marekani milioni 14.6 Afrika kama Afrika Kusini zina wahitimu milioni 3.3, Kenya 108,407, Uganda 88,360 na Tanzania 42,948.
“Na hapa sijutii hata kidogo, uamuzi wa kuongeza bajeti kila mwaka katika sekta ya elimu ili kukabiliana na hali hii,” alisema Rais Kikwete.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, alisema UDSM ni chuo cha kwanza nchini na kimezalisha wataalamu, viongozi na kufanya utafiti wa masuala mbalimbali yanayowakabili Watanzania na hivyo kusaidia maendeleo ya Taifa.
Maadhimisho hayo ambayo awali yalianza kwa vurugu baada ya wanafunzi wa chuo hicho kukusanyika na kumpokea Rais Kikwete na mgeni wake kwa mabango na nyimbo, pia yalihudhuriwa na Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi na Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba.
Aidha, Kaimu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala alitoa zawadi kwa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na Mkuu wa Kwanza wa Chuo hicho, Profesa Robert Pratt.
Zawadi zingine zilitolewa kwa Mkuu wa Kwanza wa Chuo hicho ambaye ni mzawa, Dk. Wilbert Chagula; aliyehusika kutafuta eneo chuo hicho kilipo sasa, Chifu George Kunambi; Mkuu wa Kwanza wa Kitivo cha Sheria, Arthur Weston na mwanafunzi wa kwanza wa kike chuoni hapo, Jaji Julie Manning.
NANI KUIBUKA KIDEDEA JUMAPILI?
Alisema mechi kali yao zaidi ilikuwa wikendi iliyopita dhidi ya Liverpool
Aliyekuwa mlinzi wa Manchester United Gary Pallister anaamini kwamba pambano la Jumapili dhidi ya Manchester City linachukua mahali pa mchuano na Liverpool kuwa ndio pambano lao la msimu.
Meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson amesema pambano kati ya Man U na Liverpool ndio pambano kubwa kushinda yote kati ya vilabu vya kandanda duniani.
Lakini Pallister ameiambia BBC Sport: "City wamewakiuka United katika msimamo wa Premier League na wamethibitisha kwamba watakuwa wapinzani thabiti kwa ubingwa wa msimu huu.
"Hili huenda likawa ndilo pambano kubwa zaidi kwa United hata kushinda pambano na Liverpool."
KIFO CHA KANALI GADDAFI CHA LETA UTATA
Afisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu inasema uchunguzi kamili unapaswa kufanywa kuhusu jinsi Muammar Gaddafi alivyokufa.
Akizungumza kutoka makao ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva, afisa wa kitengo hicho cha haki za binadamu alielezea, picha za simu ya mkononi kuhusu hali ya kifo chake ni zenye kuchafua roho na kuongeza kwamba sheria ya kimataifa inaharamisha kumua mtu bila kumfikisha mahakamani.
Afisi hiyo ya haki za binaadamu ya Umoja wa Mataifa inasema utawala wa miaka 42 wa Kanali Gaddafi ulikua wa kimabavu na chini ya utawala huo wananchi wa Libya walikabiliwa na mateso mengi. Lakini hata hivyo maafisa hao wameelezea wasiwasi wao kuhusu jinsi Kanali Gaddafi alivyokufa na wanataka ufafanuzi.
Msemaji wa Umoja wa Mataifa Rupert Colville"Tunaamini kuna haja ya kufanywa uchunguzi. Maelezo zaidi yanahitajiwa kuhakikisha kama aliuawa katika mapigano au aliuliwa baada ya kukamatwa kwake. Video mbili za simu ya mkononi ambazo zilijitokeza moja ikimuonyesha akiwa hai na nyingine akiwa amekufa zinachafua roho" Matamshi ya msemaji wa Umoja wa Mataifa Rupert Colville
Afisi hiyo ya Umoja wa Mataifa inasema kumuua mtu kiholea ni kukiuka sheria ya kimataifa hata kwa watuhumiwa wa uhalifu wa kivita au uhalifu dhidi ya binaadamu - kama alivyotuhumiwa Muammar Gaddafi - inapswa wafikishwe mahakamani . Matamshi haya kutoka Umoja wa Mataifa yanabainisha sio tu Umoja huo una mashaka jinsi kanali Gaddafi alivyouawa kikatili, lakini pia kuvunjika moyo kwamba hatakabiliwa tena na mahakama iliyo wazi. Wataalamu wanasema Kumfikisha mahakamani Kanali Gaddafi kungezituliza nyoyo za wananchi wa Libya.
SERIKALI YAWEKA UTARATIBU KUPOKEA, CHENJI YA RADA
Pia inafanya utaratibu wa kushughulikia akaunti itakayotumika kuhifadhi fedha hizo zitakapoingia nchini.
Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, alisema hayo alipozungumza na NIPASHE.
Alisema utaratibu huo unafanyika baada ya Serikali ya Uingereza kuihakikishia Serikali ya Tanzania kwa maandishi kwamba, italipwa fedha hizo.
Mkulo alisema hayo alipotakiwa na NIPSHE kueleza kama Serikali ya Tanzania imekwisha kupokea fedha hizo au la.
“Tumeshapata barua kutoka Serikali ya Uingereza kwamba, serikali (ya Tanzania) italipwa Paund milioni 29.50,” alisema Waziri Mkulo.
Alisema utaratibu huo unafanywa kati ya serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Wizara ya Fedha na Uchumi, BoT na DFID.
Fedha hizo zinarejeshwa nchini baada ya Kampuni ya BAE Systems ya Uingereza iliyouzia Tanzania rada hiyo kwa bei kubwa kuliko bei yake halisi, kuamriwa na mahakama nchini humo, kulipa faini hiyo.
Amri hiyo ilitolewa na mahakama, baada ya kampuni hiyo kugundulika kwamba, ilikwenda kinyume katika kuiuzia Tanzania rada hiyo mwishoni mwa miaka ya 1990.
BAE iliiuzia Tanzania rada hiyo kwa dola za Marekani milioni 40 (Sh. bilioni 54), hatua iliyopingwa na wengi, akiwamo aliyekuwa Waziri wa Uingereza wa Masuala ya Afrika, Clear Shot, aliyejiuzulu, pamoja na taasisi mbalimbali, ikiwamo Benki ya Dunia (WB).Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
Subscribe to:
Posts (Atom)
